5 Nilizani kwamba nimetupwa mbali nawe; nisiweze kuliona tena hekalu lako takatifu.
Nilimungojea Yawe kwa uvumilivu, akanielekea na kusikia kilio changu.
Lakini, kwa wingi wa wema wako, mimi nitaingia ndani ya nyumba yako; nitainama kwa heshima kuelekea hekalu lako takatifu.
Maji yalianza kunifunika kichwa, nami nikafikiri: Huu ni mwisho wangu.
“Wakati mutakapoona muji wa Yerusalema umezungukwa na waaskari, mujue kwamba uharibifu wake unakaribia.