Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yona 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Ulinitupa katika kilindi, katikati ya bahari, maji mengi yakanizunguka, mawimbi na maji mengi vikapita juu yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yona 2:4
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

maana watu wa mataifa mengine watasikia sifa zako na juu ya nguvu na uwezo wako, mutu yule akikuja na kuomba akielekea nyumba hii,


vilevile wakati ule watakapokuwa katika inchi ya waadui zao, wakikugeukia kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote, na kama wakikuomba wakielekea inchi yao ambayo uliwapatia babu zao, wakielekea muji huu ambao uliuchagua na nyumba hii ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako,


basi, nitawahamisha watu wangu, Waisraeli, kutoka inchi hii ambayo nimewapa; vilevile na nyumba hii ambayo niliyoitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali nami, na kuifanya kitu cha kuchekelewa na kuzarauliwa kati ya watu wa mataifa yote.


tena kama watatubu kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote wakati watakapokuwa katika inchi ya uhamisho, na kama watakuomba wakielekea inchi yao ambayo uliwapatia babu zao, muji huu ambao uliuchagua na nyumba hii ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako,


Yawe asifiwe, maana amenionyesha wema wake wa ajabu, nilipozungukwa katika muji unaoshambuliwa.


Mafuriko juu ya mafuriko yananguruma, mawimbi na zoruba yako vinanifunika.


Unawaangamiza wote wanaosema uongo; unawachukia wauaji na wadanganyifu.


Ninahesabiwa kati ya wafu, kama waliouawa, wanaokuwa katika kaburi, kama wale ambao hauwakumbuki tena, ambao wametengwa na ulinzi wako.


Umenitupa mbali katika shimo la wafu, katika giza kubwa.


Nilipata mateso makali kwa faida yangu; lakini umeyaokoa maisha yangu kutoka shimo la uharibifu, maana umezitupa zambi zangu nyuma yako.


Wewe Sayuni unasema: Yawe ameniacha. Hakika Bwana wangu amenisahau.


Kisha Yawe akaniambia: Hata kama Musa na Samweli wangesimama mbele yangu na kunisihi, singewahurumia watu hawa. Uwaondoe kabisa mbele yangu. Uwaache waende!


Nitawafukuza ninyi mbali nami kama nilivyowatupilia mbali wandugu zenu, wote wa uzao wa Efuraimu.


Maji yalianza kunifunika kichwa, nami nikafikiri: Huu ni mwisho wangu.


Kwa hiyo Yawe akaniambia: Wewe mwanadamu! Mifupa hiyo ni mufano wa watu wote wa inchi ya Israeli. Wao, wanasema: Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yamepotea nasi tumekwisha kabisa.


Hivyo, mufalme Dario akatia sahihi kwenye sheria hiyo.


Niliteremuka mpaka kwenye misingi ya milima, katika inchi ambayo milango yake imefungwa milele. Lakini wewe, ee Yawe, Mungu wangu, umenipandisha nikiwa muzima kutoka mule ndani ya shimo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ