Yona 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uukaripie. Maana uovu wake umenifikia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kule Samaria kulikuwa nabii wa Yawe, jina lake Obedi. Yeye alitoka kwenda kukutana na waaskari wa Israeli walipokuwa karibu kuingia Samaria, akawaambia: “Yawe, Mungu wa babu zenu, alikuwa amewakasirikia watu wa Yuda, ndiyo maana aliwatia katika mikono yako lakini umewaua kwa hasira. Tendo hilo limetoka mbinguni.