Yoeli 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 nitayakusanya mataifa yote, niyapeleke katika bonde linaloitwa: “Yawe anahukumu”. Huko nitayahukumu mataifa hayo, kwa mambo waliyowatendea watu wangu Waisraeli, hao wanaokuwa mali yangu mimi mwenyewe. Maana waliwatawanya kati ya mataifa, waligawanya inchi yangu အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |