Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoeli 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wanashambulia kama mashujaa wa vita; wanapanda juu ya kuta kama waaskari. Wote wanakwenda mbele moja kwa moja, bila hata mumoja wao kubadilisha njia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoeli 2:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Saulo na Yonatani, watu wema na wa kupendeza. Katika maisha na kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, wenye nguvu kuliko simba.


Siku hiyo, Daudi alisema: “Mutu yeyote atakayewapiga Wayebusi apitie kwenye mufereji wa maji kwa kuwashambulia vilema na vipofu ambao roho yangu inawachukia.” Ndiyo maana watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia katika nyumba.”


Kutoka kabila la Dani: watu elfu makumi mbili na nane mia sita wenye silaha tayari kwa vita.


Ananivunja na kunipiga tena na tena; ananishambulia kama askari.


hata hivyo, ujumbe wao unaenea katika dunia yote, na habari zao zinafika miisho ya ulimwengu. Mungu amewekea jua makao yake katika anga;


nzige hawana mufalme, lakini wote wanaenda pamoja kwa vikundi;


Mupande, mupite katika mashamba yake ya mizabibu, muharibu kila kitu lakini musivimalize kabisa. Mukate matawi yake, kwa maana hayo si yangu mimi Yawe.


Hakuna anayemusukuma mwenzake; kila mumoja anafuata njia yake. Wanapita kati ya vizuizi vya silaha, wala hakuna kinachoweza kuwazuia.


Wanashambulia muji, wanakimbia juu ya ukuta; wanapanda juu ya nyumba na kuingia, wanapenya katika madirisha kama wezi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ