4 Wanaonekana kama farasi, wanashambulia kama farasi wa vita.
Sikia! Mulio wa fimbo, mashindo ya magurudumu, vishindo vya farasi na ngurumo za magari ya vita!
Umbo la nzige wale lilifanana na farasi waliopambwa kwa kupigana vita. Juu ya vichwa vyao kulikuwa vitu vinavyofanana na taji za zahabu, na nyuso zao zilifanana kama nyuso za watu.
“Farasi walipita wakipiga udongo, walipigapiga udongo na kishindo cha kwato zao.