Yoeli 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Kama vile moto unavyoteketeza, Jeshi hilo linaharibu kila kitu mbele yake na kuacha nyuma kila kitu kinateketezwa; mbele ya kupita kwao, inchi ni kama bustani ya Edeni, lakini wakisha kupita, ni jangwa tupu. Hakuna kinachoweza kuponyoka! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |