Huyo aliyezifanya nyota zinazoitwa Kilimia na Orioni, ambaye analigeuza giza nene kuwa muchana, na muchana kuwa usiku; yeye anayekusanya maji ya bahari na kuyamwanga juu ya inchi kavu, Yawe ndilo jina lake.
Kutoka kule tukazunguka pembenipembeni ya bahari hata tukafika katika muji Regio. Kesho yake upepo usiokuwa mukali ukaanza kuvuma tokea kusini, na kwa mwendo wa siku mbili tukafika katika muji Puteoli.