Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Hata kama ningemwita naye akijibu, nisingeweza kuamini kwamba ananisikiliza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 9:16
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”


Wimbo wa safari za kidini. Yawe alipoturudisha tena Sayuni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto!


kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya kifo ilikuwa mbele yangu.


Walipokata tamaa, niliwaonyesha uso wa furaha; walishika muchangamuko wa uso wangu.


Gideoni akamwambia: “Ee Bwana wangu, ikiwa Yawe yuko pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu ambayo wazee wetu walituelezea, wakisema: ‘Yawe ndiye aliyetutoa katika inchi ya Misri.’ Lakini sasa Yawe ametutupilia na kututia katika mikono ya Wamidiani!”


Musa akawaelezea Waisraeli maneno hayo. Lakini wao hawakumusikiliza kwa sababu walikuwa wamekufa moyo kutokana na utumwa mukali.


Ingawa sina kosa, siwezi kumujibu. Ninapaswa kumwomba mwamuzi wangu huruma.


Yeye ananiponda kwa zoruba, anaongeza vidonda vyangu bila sababu.


Uanze kusema maneno yako nami nikujibu. Au mimi nianze, nawe unijibu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ