Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu katika dunia ni kivuli kinachopita.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yakobo akamujibu: “Umri niliojaliwa kama musafiri ni miaka mia moja na makumi tatu. Miaka hiyo imekuwa michache na iliyojaa mateso, tena haijafikia hesabu ya miaka wazee wangu waliyoishi kama wasafiri.”


Sisi tuko wageni mbele yako, na wasafiri kama vile babu zetu walivyokuwa wote. Siku zetu katika dunia ni kama kivuli kinachopita, hapa hakuna tumaini la kukaa.


Nyuma, Rehoboamu akataka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa baba yake Solomono alipokuwa angali muzima, akawauliza: “Munanishauria kwamba niwape jibu gani watu hawa?”


Mutu anazaliwa na mwanamuke, ana siku chache, na taabu nyingi.


Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.


Nilisema ndani ya moyo: “Uwaache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.”


Siku zangu zinapita mbio kuliko gurudumu la mushonaji, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.


Lakini wao watakufundisha na kukuambia mambo waliyopata kuyatoa katika maarifa yao.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Maisha yangu ni kama kivuli cha magaribi; ninanyauka kama majani.


Mwanadamu ni kama pumzi tu; siku zake zinapita kama kivuli.


“Ee Yawe, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue namna maisha yangu yanavyopita upesi!”


“Lakini ninyi hamujui wala hamufahamu! Ninyi munatembea katika giza la upotovu! Misingi yote ya haki katika dunia imetikiswa!


Kwako miaka elfu moja ni kama siku moja tu, ni kama jana ambayo imekwisha pita, ni kama makesha ya usiku mumoja.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ