Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Tafazali, ujifunze kwa wale waliotutangulia; shika mambo ambayo wazee walitambua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:8
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma, Rehoboamu akataka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa baba yake Solomono alipokuwa angali muzima, akawauliza: “Munanishauria kwamba niwape jibu gani watu hawa?”


Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwa walioishi muda murefu.


Sikia! Hayo yote nimeyaona kwa macho yangu. Nimeyasikia kwa masikio yangu mwenyewe na kuelewa.


Kati yetu kuna wazee wenye hekima, wenye miaka mingi kuliko baba yako.


mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuficha,


Wewe labda umesahau jambo hili: kwamba tangu zamani Mungu alipomwumba mutu katika dunia,


Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora.


Wanaokuwa wazima ndio wanaokushukuru, kama na mimi ninavyofanya leo. Wababa wanajulisha watoto wao uaminifu wako.


Musikilize kitu hiki, enyi wazee; mutege sikio, ninyi wakaaji wote wa Yuda! Jambo kama hili limekwisha kutokea katika maisha yenu, au nyakati za babu zenu?


Na yote yaliyoandikwa zamani katika Maandiko Matakatifu yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi, kusudi tuendelee kuchunga tumaini kwa njia ya kuvumilia na kufarijiwa sawa tunavyofundishwa katika Maandiko Matakatifu.


Mambo haya yote yaliwafikia kusudi yakuwe mufano kwa watu wengine; yameandikwa kwa kutuonya sisi, kwa maana tunaishi katika kipindi cha mwisho wa nyakati.


Mukumbuke siku zilizopita, mufikiri miaka ya vizazi vingi. Muulize baba zenu nao watawajulisha, muulize wakubwa wenu nao watawaelezea.


“Mufikiri sana juu ya matukio ya zamani, mambo yaliyotukia mbele ninyi hamujazaliwa, tangu siku ile Mungu alipomwumba mutu katika dunia. Muulize katika ulimwengu wote, toka pembe moja mpaka nyingine, kama jambo la ajabu la namna hii limepata kutokea au kusikilika!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ