Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kama watoto wako wamemukosea Mungu, yeye amewalipiza matokeo ya makosa yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wa Sodoma walikuwa waovu na watenda zambi wakubwa mbele ya Yawe.


Kila mara karamu ilipomalizika, Yobu aliita wana wake kusudi awatakase. Aliamuka asubui mapema kisha karamu, akatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya kila mumoja wao maana aliwaza: “Labda wana wangu wametenda zambi na kumutukana Mungu ndani ya mioyo yao.”


Watoto wake hawana usalama. Wanaonelewa katika tribinali, na hakuna mutu wa kuwatetea.


“Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.


Mujue kwamba uzima wa kila mutu ni katika mikono yangu, ikiwa uzima wa muzazi na uzima wa mutoto. Yeyote anayetenda zambi, ndiye atakayekufa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ