Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Maana, unazani Mungu anapotosha sheria? Au, Mungu Mwenye Uwezo anapotosha haki?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:3
29 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sizani kama utafanya hivyo, kuwaua watu wa haki pamoja na waovu, kutendea watu wa haki sawa na waovu. Hapana, haiwezekani! Mwamuzi wa dunia yote hataacha kutenda mambo yanayokuwa sawa!”


Basi, sasa mumwogope Yawe, mukuwe waangalifu katika kila jambo mutakalotenda kwa sababu Yawe wetu hatavumilia upotoshaji wa haki, wala upendeleo wala upokeaji wa kituliro.”


Ni sawa kwako kunionea, kuzarau kazi ya mikono yako na kupendelea mipango ya waovu?


Mujue kwamba Mungu amenitendea vibaya na kuninasa katika wavu wake.


Ninalalamika: “Mateso makali!” lakini sijibiwi. Ninaita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.


Mungu Mwenye Uwezo ni nini hata tumutumikie? Tunapata faida gani tukimwomba?”


Waone wenyewe maangamizi yao; waone wenyewe kasirani ya Mungu Mwenye Uwezo.


Basi, Yobu amesema: “Mimi Yobu sina kosa, Mungu ameniondolea haki yangu.


Kweli Mungu hasikilizi kilio cha bure; Mungu Mwenye Uwezo hajali kilio kile.


Nani basi aliyeweza kumupangia njia yake, au anayeweza kumwambia: “Umekosa”?


Nitaleta hekima yangu kutoka mbali sana, na kuonyesha kwamba Muumba wangu ni wa haki.


Mungu Mwenye Uwezo asiyeweza kufikiwa na mutu, uwezo na haki yake ni mukubwa. Amejaa haki wala hapotoshi sheria hata kidogo.


“Mwanadamu anaweza kuwa mwenye haki mbele ya Mungu? Mutu anaweza kuwa safi mbele ya Muumba wake?


Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!


Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?


Kweli ninajua kama ni hivi. Lakini mutu anaweza namna gani kuwa haki mbele ya Mungu?


Mukono wako unajaa nguvu, mukono wako una nguvu na umeshinda!


Ee mufalme mukubwa, mupenda haki, umesimamisha usawa katika Israeli; umeleta sheria na haki.


Lakini ninyi munasema: Matendo ya Yawe si sawa! Musikilize sasa, enyi Waisraeli: Ninachofanya mimi si sawa? Munachofanya ninyi ndicho kisichokuwa sawa.


Wanainchi wenzako wanasema: Kitu anachofanya Yawe si sawa! Lakini ni wao ndio hawafanyi kitu kinachokuwa sawa.


Lakini, ninyi munasema: Anachofanya Yawe si sawa! Enyi Waisraeli, mimi nitamuhukumu kila mumoja wenu kadiri ya matendo yake.


Kwa hiyo, ee Yawe, Mungu wetu, ulikuwa tayari kutuazibu, na ukafanya hivyo, kwa sababu unafanya mambo yanayokuwa ya haki, nasi hatukukusikiliza.


Lakini wewe ni mugumu na mwenye moyo usiotaka kugeuka. Kwa hiyo unajiwekea azabu kubwa siku Mungu atakapoonyesha kasirani yake na hukumu yake ya haki.


Yawe ni mulima wa usalama. Kazi zake ni kamilifu, njia zake zote ni za haki. Yeye ni Mungu mwaminifu asiyekuwa na kosa, yeye anafanya mambo ya usawa na ya haki.


Waliimba wimbo wa Musa, mutumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwana- Kondoo wakisema: “Ewe Bwana wetu, Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makubwa na ya ajabu! Ewe Mufalme wa mataifa, kazi zako ni za haki na za kweli!


Kisha nikasikia sauti ikitoka kwenye mazabahu, ikisema: “Hakika, ewe Bwana wetu, Mungu Mwenye Uwezo, wewe unatoa hukumu za kweli na za haki!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ