Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Utasema mambo haya mpaka wakati gani? Mpaka wakati gani maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia: “Kwenda usimame juu ya mulima, mbele yangu mimi Yawe.” Basi, Yawe akapita na kuuvumisha upepo mukali ambao uliporomosha milima na kuvunja mawe makubwa. Lakini Yawe hakukuwa katika upepo ule. Upepo ukapita, kukakuwa tetemeko la inchi. Lakini Yawe hakukuwa katika tetemeko la inchi.


Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?


Mwisho wa maneno haya ya bure ni wakati gani? Au ni kitu gani kinachowasukuma kujibu?


Utawinda maneno ya kusema mpaka wakati gani? Fikiri vizuri nasi tutasema.


Munazani kwamba munaweza kuchunguza maneno? Maneno ya mutu aliyekata tamaa ni upepo tu.


angependezwa kunipondaponda, angenyoosha mukono wake juu yangu na kuniua!


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kusema. Nitasema kwa kusongwa kwa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.


Halafu Bildadi wa inchi ya Suhi akamujibu Yobu:


Basi, Musa na Haruni wakamwendea mufalme wa Misri na kumwambia: “Yawe, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: ‘Mpaka wakati gani utakataa kujinyenyekeza mbele yangu? Uwaache watu wangu waondoke kusudi wanitumikie.


Viongozi wa mufalme wakamwuliza: “Mutu huyu atatusumbua mpaka wakati gani? Uwaache watu hawa wajiendee wamutumikie Yawe, Mungu wao. Haujali kwamba inchi ya Misri inaangamia?”


“Enyi wajinga! Mpaka wakati gani mutapenda kuwa wajinga? Mpaka wakati gani wenye kuzarau watafurahia mazarau yao, na wapumbafu kuchukia maarifa?


Manabii si kitu, ni upepo tu. Maneno wanayoyasema hayatoki kwa Mungu. Iwatokee kama vile wanavyosema!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ