Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 8:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini likiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatalikana yakisema: “Sijakuona bado.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 8:18
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumujua watajiuliza: “Yuko wapi?”


Aliyemwona, hatamwona tena, wala pale alipoishi hapatatambuliwa tena.


Anayeondoka harudi tena kwa jamaa yake, na pale alipokuwa anaishi, wanamusahau mara moja.


Anayeniona sasa, hataniona tena, mara tu ukiniangalia nitakuwa nimetoweka.


mizizi yake inajisokotasokota kwenye mawe, nalo linaenda kuchunguza ndani ya jiwe.


upepo unapovuma juu yake yanatoweka, na mahali yalipokuwa hapaonekani tena.


Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.


Kisha nikapita pale, naye hakukuwa tena; nikamutafuta, lakini hakuonekana tena.


Mutu mupumbafu hawezi kufahamu, wala mujinga hajui jambo hili:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ