16 Wako kama ua ambalo jua linapotoka linastawi; linaeneza matawi yake katika bustani yake,
Nimepata kuona mupumbafu akistawi, lakini kwa rafla nikalaani makao yake.
mizizi yake inajisokotasokota kwenye mawe, nalo linaenda kuchunguza ndani ya jiwe.
Uliifunika milima kwa kivuli chake, na matawi yake yakakuwa kama mierezi mikubwa.
Wakati fulani, mimi nilisema kwamba wao ni muzeituni wenye majani mabichi, muzeituni muzuri na wenye matunda mema; lakini sasa, kwa ngurumo ya zoruba kubwa, nitauchoma kwa moto na kuyateketeza matawi yake.