Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kama vile wingu linavyofifia na kutoweka, ndivyo nao watu wanavyoshukia kuzimu bila kurudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini sasa amekufa, kwa nini nifunge? Mimi ninaweza kumurudisha katika dunia? Siku moja, nitakwenda kule alikokwenda, lakini yeye hawezi kurudi kwangu.”


Sisi wote tutakufa. Sisi ni kama maji yaliyomwangika chini ambayo hayawezi kuzoleka. Lakini Mungu hataki Abusaloma akufe sasa au aendelee kuishi mbali naye.


mbele ya kwenda kule ambako sitarudi, kule kwenye inchi ya huzuni na giza kubwa;


Ukubwa wake unapita mbingu; wewe unaweza nini? Kimo chake kinapita kuzimu; wewe unaweza kujua nini?


Kweli, miaka yangu ni michache, nami nitakwenda kule ambako sitarudi.


Kama kuzimu kukiwa nyumba yangu, na makao yangu yako kule katika giza,


Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremuka wote wawili mpaka kule katika mavumbi!


Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningelala na kupumzika


Hofu kubwa imenishika. Heshima yangu imetoweka kama kwa upepo, na raha yangu imepita kama wingu.


Mungu analijaza wingu manyunyu mazito; mawingu yanasambaza umeme wake.


Usikie maombi yangu, ee Yawe, usikilize kilio changu, usikae kimya ninapolia. Maana, mimi ni kama mugeni tu anayepita, ni musafiri kama vile babu zangu wote walivyokuwa.


Watu hao wamekufa, wala hawataishi tena; wamekuwa mizimu, wala hawatafufuka. Maana wewe umewaazibu na kuwaangamiza, hakuna atakayeweza kuwakumbuka tena.


Nilisema sitamwona tena Yawe, katika inchi ya wanaokuwa wazima; wala sitamwona mutu yeyote tena, kati ya wakaaji wa ulimwengu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ