Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jambo zuri lolote tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:7
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Baba yao Yakobo, akawaambia: “Munaniondolea watoto wangu! Yosefu hayuko, Simeoni hayuko, sasa munataka kumutwaa Benjamina. Hayo yote yanaanguka juu yangu!”


Kumbuka sasa lile ulilomwambia mutumishi wako Musa, uliposema: ‘Kama hamutakuwa waaminifu, nitawatawanya kati ya mataifa.


Siku za maisha yangu si chache? Uniachilie nipate kufurahi kidogo,


Kumbuka kwamba uliniumba kwa udongo. Utanirudisha tena katika mavumbi?


Ninayachukia maisha yangu. Sitaishi milele. Muniache, maana siku zangu ni pumzi tu!


Siku zangu zinaenda mbio kuliko mukimbiaji, zinakimbia bila kuona faida.


Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila mwanadamu ni kama pumzi tu!


Mutoe sadaka zinazokuwa sawa, na kumutumainia Yawe.


Kumbuka, ee Yawe, mazarau ya waadui zako; taifa pumbafu linatukana jina lako.


Ee Mungu, simama sasa ujitetee! Ukumbuke mazarau ya kila siku ya wasiokujua.


Alikumbuka kwamba wao ni watu tu; ni kama upepo unaopita na kutoweka.


Ee Yawe, utajificha hata milele? Mpaka wakati gani hasira yako itawaka kama moto?


Ee Bwana, yako wapi yale mema yako ya zamani uliyomwahidi Daudi kwa uaminifu wako?


Nami nikasema: Lakini wewe Yawe unanielewa vizuri; unikumbuke na kuja kunisaidia. Unilipizie watesaji wangu kisasi. Wewe ni muvumilivu, usiniache niangamie; kumbuka kwamba ninatukaniwa kwa ajili yako.


Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ