Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Siku zangu zinapita mbio kuliko gurudumu la mushonaji, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:6
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu aniue akitaka; sina la kupoteza. Hata hivyo nitautetea mwenendo wangu mbele yake.


Mitiririko wa maji inakulakula mawe, mvua kubwa inaleta mumomonyoko wa udongo. Ndivyo nawe unavyoharibu tumaini la mwanadamu.


Kweli, miaka yangu ni michache, nami nitakwenda kule ambako sitarudi.


Nimevunjika moyo, siku zangu zimekwisha, kaburi langu liko tayari.


Siku zangu zimekwisha, mipango yangu imevunjwa, matazamio ya moyo wangu yametoweka.


basi, nimebakiliwa na tumaini gani? Ni nani anayeweza kuona tumaini lile?


Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremuka wote wawili mpaka kule katika mavumbi!


Amenivunja pande zote, nami nimekwisha; tumaini langu ameliongoa kama muti.


Sina nguvu ya kuweza kuendelea. Sijui mwisho wangu utakuwa namna gani, nipate kuvumilia.


Siku zangu zinaenda mbio kuliko mukimbiaji, zinakimbia bila kuona faida.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Mwanadamu ni kama pumzi tu; siku zake zinapita kama kivuli.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Israeli, usiichubue miguu yako wala usilikaushe koo lako. Lakini wewe unasema: Hakuna tumaini lolote. Ninapenda miungu ya kigeni, hiyo ndiyo nitakayoifuata.


Kwa wakati ule mulikuwa mumetengwa mbali na Kristo. Hamukukuwa kati ya watu waliochaguliwa na Mungu, mulikuwa wageni kati yao. Ninyi hamukukuwa na pato lolote katika agano zile Mungu alizotoa katika ahadi yake kwa watu wake. Muliishi katika dunia pasipo tumaini wala kumujua Mungu.


Jua linatokea na kwa joto kali linakausha mimea, nayo maua yake yanaanguka na uzuri wake wote unaharibika. Hivi ndivyo tajiri naye atakavyotoweka katika shuguli zake.


Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.


Kwa sababu hiyo, mukuwe tayari kwa kutumikisha akili yenu. Mukeshe na muweke tumaini lenu lote katika baraka ile mutakayopewa wakati Yesu atakapotokea.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Wanadamu wote ni kama majani. Na utukufu wao wote unatoweka kama maua. Majani yanakauka na maua yanaanguka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ