17 Mwanadamu ni nini hata umujali? Kwa nini unajishugulisha naye
Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kusamba naye?
Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.
ni nini sasa mutu ambaye ni kidudu, mwanadamu ambaye ni nondo tu!
Mimi ni bahari au nyama mukubwa wa bahari hata upate kuniwekea mulinzi?
Ee Yawe, mutu ni nini hata umujali? Mwanadamu ni nini hata ufikiri juu yake?
Nikiangalia mbingu uliyoumba kwa vidole vyako, mwezi na nyota ulizozisimika huko,
mutu ni nini, ee Mungu, hata umufikirie? Mwanadamu ni nini hata umujali?
Tena maneno haya yanahakikishwa na pahali pengine katika Maandiko Matakatifu: “Mutu ni nini hata umukumbuke, mwanadamu ni nini hata umushugulikie?
Kumbuka mezali ya kale inayosema ‘Uovu unatoka ndani ya mwovu’, lakini sitanyoosha mukono juu yako.