Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Ninayachukia maisha yangu. Sitaishi milele. Muniache, maana siku zangu ni pumzi tu!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:16
22 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Rebeka akamwambia Isaka: “Sina raha kabisa katika maisha kwa sababu ya hawa wanawake Wahiti wa Esau. Ikiwa Yakobo ataoa mumoja wa wanawake hawa Wahiti, maisha yangu yana faida gani?”


naye akatembea mwendo wa siku nzima kuingia katika jangwa. Basi, akafika, akaikaa chini ya muti mumoja wa muretemu. Halafu, akaomba apate kufa, akisema: “Inatosha! Siwezi tena. Ee Yawe, sasa utoe uzima wangu. Mimi si bora kuliko babu zangu.”


Ninachukia maisha yangu! Malalamiko yangu nitayasema bila kizuizi. Nitasema kwa uchungu wa moyo wangu.


Siku za maisha yangu si chache? Uniachilie nipate kufurahi kidogo,


Angalia pembeni basi, umwache, kusudi apate kufurahia siku zake kama mutumishi wa mushahara.


angependezwa kunipondaponda, angenyoosha mukono wake juu yangu na kuniua!


hata ninaona afazali kutundikwa, ninaona heri kufa kuliko kupata mateso haya.


Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jambo zuri lolote tena.


Mimi ni mukamilifu. Siangalii nafsi yangu. Ninachukia maisha yangu.


Mwanadamu ni kama pumzi tu; siku zake zinapita kama kivuli.


Niko kama bubu, sisemi kitu, kwa maana wewe ndiwe uliyetenda hayo.


Usikie maombi yangu, ee Yawe, usikilize kilio changu, usikae kimya ninapolia. Maana, mimi ni kama mugeni tu anayepita, ni musafiri kama vile babu zangu wote walivyokuwa.


Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila mwanadamu ni kama pumzi tu!


Enyi watu, mutumainie Mungu siku zote; mumufungulie yanayokuwa ndani ya moyo wenu. Yeye ndiye kimbilio letu.


Basi, akatowesha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa misiba ya rafla.


Alikumbuka kwamba wao ni watu tu; ni kama upepo unaopita na kutoweka.


Kwa hiyo, nikachukia maisha, maana yote yanayotendeka chini ya jua yalinisikitisha. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Watu wote watakaobaki wa jamaa hii mbaya, pahali popote pale nilipowasambaza, wataona heri kufa kuliko kuishi. –Ni ujumbe wa Yawe wa majeshi.


Basi, sasa ee Yawe, ninakusihi uniondoe uzima wangu, maana ni vizuri kwangu kufa kuliko kuishi.


Jua lilipotokea, Mungu akaleta upepo mukali kutoka upande wa jangwa, jua likamuchoma sana Yona juu ya kichwa, karibu azimie. Akatamani kufa, akisema: Ni vizuri kwangu kufa kuliko kuishi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ