Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 wewe unakuja kunitia hofu kwa ndoto, unanitisha kwa kuniletea maono,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:14
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kulipokuwa asubui, yeye akiwa na wasiwasi sana, aliwaita wachawi wote wa Misri, na wenye hekima, akawaambia ndoto zake. Lakini hakuna hata mumoja aliyeweza kumutafsiria ndoto zile.


Sina amani wala utulivu; sipumziki, taabu imenifikia.


Nikisema “Kitanda kitanipumzisha, matandiko yangu yatanipunguzia malalamiko yangu”,


hata ninaona afazali kutundikwa, ninaona heri kufa kuliko kupata mateso haya.


Ninapolala ninasema: “Nitaamuka wakati gani?” Maana saa za usiku ni ndefu sana; ninagaagaa katika kitanda mpaka mapambazuko!


Katika mwaka wa pili wa utawala wake, mufalme Nebukadneza aliota ndoto. Na kwa hiyo roho yake ikahuzunika sana hata hakuweza kupata usingizi.


Lakini nikaota ndoto iliyonitisha; nikiwa nimelala katika kitanda, mawazo na maono yaliniogopesha.


Pilato alipokuwa amekwisha kuikaa kwa kuamua maneno, muke wake akamutumia ujumbe huu: “Usijiingize katika maneno ya mutu huyo mwenye haki, kwa sababu usiku niliteseka sana katika ndoto kwa ajili yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ