Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kusema. Nitasema kwa kusongwa kwa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:11
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha wakasemezana wao kwa wao: “Kweli sisi tulimukosea ndugu yetu. Ingawa tulimwona katika taabu, hatukumujali hata alipotusihi. Ndiyo maana taabu hii yote inatupata.”


Ninachukia maisha yangu! Malalamiko yangu nitayasema bila kizuizi. Nitasema kwa uchungu wa moyo wangu.


Kama mimi ni mwovu, ole wangu! Kama mimi ni mwenye haki, siwezi kujisifu; maana nimejaa haya, nikiangalia mateso yangu.


Munyamaze, nami niseme. Kitu kitakachonipata, kinipate.


Lakini nikisema maumivu yangu hayatulii, na nikikaa kimya hayaondoki.


Mwingine anakufa na huzuni kubwa ndani ya moyo, akiwa hajaonja bado jambo lolote jema.


Hata leo malalamiko yangu ni ya uchungu. Ninapata maumivu na kuugua.


Angalisho! Usielekee uovu maana umepewa mateso kwa kukuepusha na uovu.


Munazani kwamba munaweza kuchunguza maneno? Maneno ya mutu aliyekata tamaa ni upepo tu.


Ninasema: “Nitasahau malalamiko yangu, niondoe uso wangu wa huzuni na kuwa na furaha!”


Nilikuwa kama bubu, bila kusema kitu, nilinyamaza lakini sikupata faida. Mateso yangu yalizidi kuwa makali,


Ninataka kutimiza mapenzi yako, ee Mungu wangu; sheria yako ninaishika kwa moyo wangu wote!”


Lakini niseme nini: yeye mwenyewe aliniambia, naye mwenyewe ametenda hayo. Usingizi wangu wote umenitoroka kwa sababu ya uchungu ndani ya moyo wangu.


Nilipata mateso makali kwa faida yangu; lakini umeyaokoa maisha yangu kutoka shimo la uharibifu, maana umezitupa zambi zangu nyuma yako.


Yesu alikuwa katika uchungu mukubwa, akazidi kuomba kwa bidii. Jasho iliyomutoka ikakuwa kama matone ya damu yaliyokuwa yakitiririka mpaka chini.]


Niliwaandikia nikiwa mwenye kusikitika sana na mwenye kufazaika kabisa na nikilia machozi mengi, si kwa kuwahuzunisha ninyi, lakini ni kusudi mupate kujua namna gani ninavyowapenda.


Hana alikuwa na huzuni sana. Na alipokuwa anamwomba Yawe akakuwa analia kwa uchungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ