10 Anayeondoka harudi tena kwa jamaa yake, na pale alipokuwa anaishi, wanamusahau mara moja.
Lakini sasa amekufa, kwa nini nifunge? Mimi ninaweza kumurudisha katika dunia? Siku moja, nitakwenda kule alikokwenda, lakini yeye hawezi kurudi kwangu.”
atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumujua watajiuliza: “Yuko wapi?”
Aliyemwona, hatamwona tena, wala pale alipoishi hapatatambuliwa tena.
Upepo mukali wa mashariki unamupeperusha naye anatoweka; unamufagilia mbali kutoka makao yake.
Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.
Lakini likiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatalikana yakisema: “Sijakuona bado.”
upepo unapovuma juu yake yanatoweka, na mahali yalipokuwa hapaonekani tena.
Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.