Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 7:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Anayeondoka harudi tena kwa jamaa yake, na pale alipokuwa anaishi, wanamusahau mara moja.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 7:10
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini sasa amekufa, kwa nini nifunge? Mimi ninaweza kumurudisha katika dunia? Siku moja, nitakwenda kule alikokwenda, lakini yeye hawezi kurudi kwangu.”


atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumujua watajiuliza: “Yuko wapi?”


Aliyemwona, hatamwona tena, wala pale alipoishi hapatatambuliwa tena.


Upepo mukali wa mashariki unamupeperusha naye anatoweka; unamufagilia mbali kutoka makao yake.


Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.


Lakini likiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatalikana yakisema: “Sijakuona bado.”


upepo unapovuma juu yake yanatoweka, na mahali yalipokuwa hapaonekani tena.


Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ