Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Heri ningejibiwa kwa ombi langu, Mungu angenipatia kile ninachotamani,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 6:8
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

naye akatembea mwendo wa siku nzima kuingia katika jangwa. Basi, akafika, akaikaa chini ya muti mumoja wa muretemu. Halafu, akaomba apate kufa, akisema: “Inatosha! Siwezi tena. Ee Yawe, sasa utoe uzima wangu. Mimi si bora kuliko babu zangu.”


Ninachukia maisha yangu! Malalamiko yangu nitayasema bila kizuizi. Nitasema kwa uchungu wa moyo wangu.


anayetamani kifo lakini hakufi, anayetafuta kifo kuliko hazina iliyofichwa.


Mutu kama yule atashangilia sana na kufurahi atakapokufa na kuzikwa!


Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vinavyonichukiza.


angependezwa kunipondaponda, angenyoosha mukono wake juu yangu na kuniua!


Ninachoka kwa kukungojea uniokoe; ninatumainia neno lako.


Basi, sasa ee Yawe, ninakusihi uniondoe uzima wangu, maana ni vizuri kwangu kufa kuliko kuishi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ