Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vinavyonichukiza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 6:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Huyo mwanamuke akamwambia: “Kama vile Yawe Mungu wako anavyoishi, sina mukate hata kidogo. Niko tu na unga unaoweza kujaa mukono mumoja katika chungu na mafuta kidogo katika chupa. Nimefika hapa kuokota kuni, kisha niende kwangu kupika chakula hicho, mwana wangu na mimi tukule, kisha tungojee kufa.”


Uwaambie wamutie katika gereza na kumukulisha mukate kidogo na maji, mpaka nitakaporudi salama.”


Kuugua ndicho chakula changu. Malalamiko yangu yanatiririka kama maji.


naye anapoteza hamu yote ya chakula, hata chakula ni chukizo kwake.


Kitu kisichokuwa na onjo kinaweza kuliwa bila chumvi? Sehemu nyeupe ya yai ina utamu wowote?


Heri ningejibiwa kwa ombi langu, Mungu angenipatia kile ninachotamani,


Muchana kutwa waadui zangu wananisimanga, wanaonichekelea wanatumia jina langu kwa kulaani.


Halafu nikamwambia hivi: Ee, Bwana wangu Yawe, sijajichafua hata kidogo kwa kula nyamafu wala nyama aliyeuawa na nyama wa pori, wala sijapata kuonja nyama anayehesabiwa kuwa muchafu tangu ujana wangu.


Tena akaniambia hivi: Wewe mwanadamu, mimi nitaharibu akiba ya chakula katika Yerusalema; wakaaji wake watakula chakula watakachopimiwa kwa hofu. Watakunywa maji watakayopimiwa kwa kufazaika.


Sikukula chakula kizuri, sikugusa nyama wala divai, na sikujipakaa mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ