Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 6:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kitu kisichokuwa na onjo kinaweza kuliwa bila chumvi? Sehemu nyeupe ya yai ina utamu wowote?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 6:6
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sikio halipimi maneno kama vile ulimi unavyoonja chakula?


Mambo kama yale nimeyasikia mengi; ninyi ni wafariji wenye kutaabisha!


Sikio linapima maneno, kama vile ulimi unavyoonja chakula.


Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yanafaa kwa nini?


Munazani kwamba nimesema uovu? Munafikiri kwamba mimi siyatambui machungu?


Punda wa pori analia akiwa na majani, au ngombe akiwa na malisho?


Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vinavyonichukiza.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Utakoleza sadaka zako zote za ngano kwa chumvi. Usiache hata kidogo kuweka chumvi katika sadaka yako ya ngano, maana chumvi ni kitambulisho cha agano Mungu alilofanya pamoja nanyi.


“Ninyi ni kama chumvi kwa watu wote. Lakini kama chumvi ikipoteza onjo lake, itatiwa nini ipate tena kukolea? Haifai tena hata kidogo, inabakilia kutupwa na kukanyagwa na watu.


“Chumvi ni kitu kizuri. Lakini chumvi ikipoteza onjo lake, itatiwa nini kusudi ipate tena kukolea?


Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ