Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mishale ya Mungu Mwenye Uwezo imenichoma; nafsi yangu imekunywa sumu yake. Vitisho vya Mungu vimenipata.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 6:4
30 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Amenirarua kwa hasira na kunichukia, amenisagia meno, na adui yangu ananitonolea macho.


Majeshi yake yananifikia kwa pamoja; yametengeneza njia ya kuja kwangu, yamepiga kambi kuizunguka nyumba yangu.


Ananyonya sumu ya nyoka na nyoka atamuuma na kumwua.


Waone wenyewe maangamizi yao; waone wenyewe kasirani ya Mungu Mwenye Uwezo.


Hofu kubwa imenishika. Heshima yangu imetoweka kama kwa upepo, na raha yangu imepita kama wingu.


Maana hasara kutoka kwa Mungu ni kitisho kwangu; mimi siwezi kusimama mbele ya ukubwa wake.


Ingawa sina kosa, ninaonekana kuwa mwongo. Kidonda changu hakiponi ingawa sina kosa.”


Kama nikitenda zambi, inakuuzi nini, ewe muchungaji wa wanadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Kwa nini nimekuwa muzigo kwako?


Yeye ananiponda kwa zoruba, anaongeza vidonda vyangu bila sababu.


Ee Yawe, unijibu haraka; maana roho yangu imeregea kabisa! Usinigeuzie mugongo, kusudi nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.


Yawe alinguruma kutoka mbingu; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.


Hata kama wakifanya shauri baya juu yako, kama wakikamata mipango ya udanganyifu, hawataweza kitu hata kidogo.


Ee Yawe, usiniazibu kwa hasira yako, usiniadibishe kwa kasirani yako.


Mishale yako imenichoma; mukono wako umenigandamiza.


Songa mbele kwa utukufu upate ushindi, utetee ukweli na kulinda haki. Mukono wako utende mambo makubwa.


Watu wasipogeuka toka ubaya wao, Mungu atanoa upanga wake; atavuta upinde wake na kupima shabaha.


Moyo unajua uchungu wake wenyewe, wala mugeni hawezi kushiriki furaha yake.


Roho ya mutu inaweza kuvumilia ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utavumilia namna gani?


Kila mara itakapopita kwenu itawapata; nayo itapita kila asubui, muchana na usiku. Kusikia ujumbe huu tu kutakuwa kitisho.


Amevuta upinde wake kama adui, na kuuweka mukono wake wa kuume tayari, amewaua wote waliopendeza macho. Amemwanga hasira yake kama moto katika hema yetu watu wa Sayuni.


Amenyoosha mukono wake juu yangu mimi tu, akiniazibu tena na tena muchana kutwa.


Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”


Basi, kwa sababu tunajua kwamba ni lazima kumwogopa Bwana, ndiyo maana tunajitoa kuwavuta watu kwake. Mungu anatujua waziwazi nami ninatumaini kwamba ninyi wenyewe munatujua waziwazi vilevile.


Mishale yangu nitailewesha kwa damu, upanga wangu utashiba nyama, utalowana na damu ya vidonda na wafungwa na waadui wenye nywele ndefu.


Naomi akasema: “Musiniite tena Naomi muniite Mara, kwa maana Mungu Mwenye Nguvu ameyafanya maisha yangu yakuwe machungu sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ