Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa ngambo yangu, mimi ningemugeukia Mungu, ningemutolea Mungu maneno yangu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:8
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yobu, ukifanya moyo wako mukamilifu, utainua mikono yako kwa kumwomba Mungu!


Yote munayoyajua, mimi vilevile ninayajua. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi.


Lakini ningependa kusema na Mungu Mwenye Uwezo, ninatamani kujitetea mbele ya Mungu.


Sasa, Yobu, ukubaliane na Mungu ukuwe na amani, na kwa hiyo mazuri yatakufikia.


Utamwomba naye atakusikiliza, nawe utavitimiza viapo vyako.


Kama utamutafuta Mungu na kumusihi yule Mungu Mwenye Uwezo,


Umutolee Yawe maisha yako, umutumainie yeye, naye atakufanyia kitu.


Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”


Lakini, ee Yawe wa majeshi, wewe unayehukumu kwa haki, unayechunguza mioyo na akili za watu, unijalie nione jinsi utakavyowalipiza kisasi, maana ninayaweka maneno yangu kwako.


na kwa sababu hiyo ninapata mateso haya. Lakini sisikii haya kwa ajili ya ile. Maana ninajua ni nani yule niliyemwamini, nami ninahakikisha kwamba anaweza kuchunga kile alichonipa kwa kunilinda mpaka Siku ile ya kurudi kwake.


Wakati walipomutukana, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha watu hata wamwogope. Lakini alijiachilia katika mikono ya Mungu anayehukumu watu kwa haki.


Basi watu wanaoteswa kwa ajili ya kufanya mapenzi ya Mungu, waendelee kutenda mema, nao watoe roho yao katika mikono ya Mungu Muumba wao anayekuwa mwaminifu kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ