Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Watoto wake hawana usalama. Wanaonelewa katika tribinali, na hakuna mutu wa kuwatetea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:4
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mara moja upepo mukali ukavuma kutoka katika jangwa, ukaipiga nyumba ile kila upande nayo ikawaangukia, na vijana wote wamekufa. Ni mimi tu peke yangu nimepona kwa kuja kukuletea habari.”


Wewe unajua kwamba mimi sina kosa, na hakuna wa kuniokoa toka katika mikono yako.


Yeye mwenyewe atarudisha mali yake yote, watoto wake wataomba huruma kwa wamasikini.


Watoto wake hata wakuwe wengi watauawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.


Kama watoto wako wamemukosea Mungu, yeye amewalipiza matokeo ya makosa yao.


Waovu hawataokolewa hata kidogo, maana hawajali juu ya masharti yako.


Heri mutu anayekuwa na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakaposamba na waadui zake kwenye tribinali.


Ee Yawe, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe. Uniokoe kutoka wote wanaonitesa, uniponyeshe.


Usiiname mbele yao wala kuvitumikia, kwa sababu mimi Yawe, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. Ninawaazibu wana kwa ajili ya maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha ine cha wale wanaonichukia.


Kwa mupumbafu hekima ni ngumu kuielewa; penye mukutano wa mashauri hafungui mudomo.


Maana mimi ninajua wingi wa makosa yenu na ukubwa wa zambi zenu; ninyi munawatesa watu wema, munapokea kituliro na kuzuia wakosefu wasipate haki katika tribinali.


Mwuaji atakimbilia katika muji mumoja wa miji ile na kusimama kwenye mulango wa muji na kuwaelezea wazee wa muji ule maneno yake. Wazee watamupokea ndani na kumupa pahali pa kuishi pamoja nao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ