Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nimepata kuona mupumbafu akistawi, lakini kwa rafla nikalaani makao yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:3
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini munasema: “Waovu wanapelekwa haraka na mafuriko ya maji, makao yao yanabaki kuwa inchi iliyolaaniwa; hakuna anayeenda kwenye mashamba yao ya mizabibu.”


Asiyemwogopa Mungu ana tumaini gani wakati Mungu anapokata pumzi yake, anapomwondolea uzima wake?


Hapana! Sikuruhusu kinywa changu kusema mabaya juu yake, kwa kumulaani kusudi akufe.


Waliobarikiwa na Yawe watarizi inchi, lakini waliolaaniwa naye wataongolewa.


Uwamwangie hasira yako, kasirani yako iwaangukie.


Mutu mupumbafu hawezi kufahamu, wala mujinga hajui jambo hili:


“Kwa sababu imeandikwa hivi katika kitabu cha Zaburi: ‘Makao yake yabakie ukiwa na mutu asiishi ndani yake.’ Na imeandikwa tena: ‘Mutu mwingine atwae kazi yake.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ