Lakini Onani alijua kwamba hao watoto hawangekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na muke wa ndugu yake, alimwanga chini mbegu ya uzazi, kusudi asimupatie ndugu yake watoto.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Mupumbafu anajisemesha hivi katika moyo: “Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, matendo yao ni ya kuchukiza; hakuna hata mumoja anayetenda mazuri!
Kwa maana kati yao kuna wamoja wanaojiingiza katika nyumba za watu na kuwashawishi wanawake wajinga wanaolemewa na mizigo ya zambi na kuvutwa na tamaa za namna nyingi.