Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Hivyo wamasikini wanapata tumaini, nao uovu unakomeshwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:16
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimepata kumukatalia masikini mahitaji yake au kuwafanya wajane watumaini bure?


Watu wa usawa wanapoona jambo hilo wanafurahi, lakini waovu wote wananyamazishwa.


Watauawa kwa upanga, maiti zao zikuwe chakula cha mbweha.


Waovu wataishia katika kuzimu; ndiyo mataifa yote yanayomusahau Mungu.


Lakini kati ya Waisraeli hakuna hata imbwa atakayemufokea mutu wala nyama kusudi upate kutambua kwamba mimi Yawe ninaweka tofauti kati ya Waisraeli na Wamisri.’ ”


Basi watapewa jibu gani wajumbe wa taifa hilo? Wataambiwa: Yawe ameijenga imara Sayuni, na wamasikini kati ya watu wake watakimbilia kule.


Nebukadneza mufalme wa Babeli alikuwa amemupa Nebuzaradani mukubwa wa walinzi, amri hii juu ya Yeremia:


Basi, Mungu akamujalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Aspenazi, yule mukubwa.


Enyi wafungwa wenye tumaini, murudi kwenye ukuta wa muji wenu. Sasa mimi ninawatangazia: nitawarudishia mema mara mbili.


Basi tunajua kama maneno yote yanayosemwa na Sheria, yanawaelekea wale wanaolazimishwa kutii Sheria, kusudi mutu yeyote asikuwe na namna ya kujitetea, na dunia nzima ipaswe kuhukumiwa na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ