Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Wao wanapatwa na giza wakati wa muchana; muchana kati wanapapasapapasa kama vile usiku.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:14
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

wakipapasapapasa katika giza kusikokuwa mwangaza; na kuwafanya wapepesuke kama walevi.


Hataponyoka giza la kifo. Ndimi za moto zitakausha vichipukizi vyake, maua yake yatapeperushwa na upepo.


Ameondolewa toka katika mwangaza, akatupwa katika giza; amefukuzwa mbali kutoka katika dunia.


Hazina zake zitaharibiwa, moto wa ajabu utamuteketeza; kilichobaki katika nyumba yake kitateketezwa.


Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.


Kuna wengine waovu wasiopenda mwangaza, wasiofahamu njia za mwangaza, na hawapendi kushika njia zake.


Lakini waovu watanyimwa mwangaza wao, mukono wanaonyoosha kwa kupiga watu utavunjwa.


Yawe akamwambia Musa: “Nyoosha mukono wako juu mbinguni kusudi giza nzito litokee katika inchi ya Misri, giza nzito sana ambalo mutu ataweza kulipapasa.”


Basi, Musa akanyoosha mukono wake juu mbinguni, kukakuwa giza nzito katika inchi yote ya Misri kwa muda wa siku tatu.


Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


Kama vipofu tunapapasapapasa ukuta; tunasitasita kama watu wasiokuwa na macho. Tunajikwaa muchana kati, sawa vile ni usiku; kati ya wenye afya, sisi ni kama wafu.


Siku hiyo, nitalifanya jua litue pa saa sita za muchana, na kuijaza inchi giza wakati wa muchana. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Mutakwenda kwa kupapasapapasa muchana kama vipofu wala hamutafanikiwa katika shuguli zenu. Mutakuwa munateswa kila mara na hakutakuwa mutu wa kuwasaidia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ