Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Anainua juu wanaokuwa zaifu; wenye kuomboleza anawapa usalama.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:11
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana, Mungu anawashusha wenye majivuno, lakini anawaokoa wanyenyekevu.


Haachi kuwalinda watu wa haki; nao anawaweka kuwa wafalme watawale na kutukuzwa.


Na ingawa ulianza kuishi kwa uzaifu, maisha yako ya mwisho yatakuwa bora zaidi.


Lakini aliwaokoa wakosefu katika taabu zao, akaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.


Anamwinua muzaifu toka katika mavumbi, anamunyanyua mukosefu toka yalala,


Mungu anasema: “Nitamwokoa yule anayenipenda; nitamulinda anayejua jina langu!


Halafu miti yote katika inchi itajua kwamba mimi Yawe ninaishusha miti mirefu na kuinua miti mifupi. Mimi ninakausha miti mibichi na kustawisha miti yenye kukauka. Ni mimi Yawe ninayesema hayo na nitayafanya.


Heri kwenu munaokuwa wenye njaa sasa, maana mutashibishwa. Heri kwenu munaolia sasa, maana mutacheka.


Mungu wa milele ndiye kimbilio lenu; nguvu yake inaonekana katika dunia. Aliwafukuza waadui mbele yenu; aliwaamuru: ‘Muwaangamize.’


Ndugu anayekuwa masikini afurahi kwa sababu Mungu anamupandisha,


Tumusifu Mungu, Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kubwa ametupatia uzima mupya kwa njia ya kumufufua Yesu Kristo. Na kwa hiyo tumepata tumaini lenye uzima,


Lakini mukisha kuteswa kwa muda kidogo, Mungu mwenye neema yote aliyewaita kusudi mupate kushiriki naye katika utukufu wake wa milele katika kuungana kwenu na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisha. Atawatia nguvu na kuwasimamisha imara kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ