Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 5:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Ananyeshea inchi mvua, anapeleka maji katika mashamba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 5:10
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

alipoamua mvua inyeshe wapi, umeme na radi vipite wapi,


Yeye anayavuta kwake maji ya bahari, na kutoka ukungu anafanya matone ya mvua.


Anayafanya mawingu yanyeshe mvua, na kuwatiririshia wanadamu kwa wingi.


Anaiambia teluji: “Anguka juu ya inchi!” na manyunyu na mvua: “Nyesha kwa nguvu.”


Yeye anafunika anga kwa mawingu, anaitayarishia inchi mvua, na kuchipukiza nyasi kwenye vilima.


dunia ilitetemeka, mbingu zilitiririsha mvua; mbele yako, Mungu wa Sinai, mbele yako, Mungu wa Israeli!


Anapotoa sauti, maji yananguruma katika mbingu, anapandisha mawingu toka kwa miisho ya dunia. Anaufanya umeme upige wakati wa mvua, na kuuvumisha upepo katika gala zake.


Katikati ya miungu ya uongo ya mataifa nani anayeweza kunyesha mvua? Au, ni mbingu ndiyo inaweza kutoa manyunyu? Si ni wewe ee Yawe, Mungu wetu? Tunakuwekea wewe tumaini letu, maana ni wewe unayefanya haya yote.


Wala hawasemi wenyewe hivi: Inatupasa kumwogopa Yawe, Mungu wetu, anayetujalia mvua kwa wakati wake, anayetupatia mvua za kwanza na mvua za mwisho; na kutupatia nyakati nzuri za mavuno.


Tena niliwanyima mvua miezi mitatu tu mbele ya mavuno. Nilinyeshea mvua muji mumoja, na muji mwingine nikaunyima. Shamba moja lilipata mvua, na lingine halikupata, likakauka.


Ingawa vile hakuacha kujijulisha kwa njia ya kutenda mema. Anawanyeshea mvua toka mbingu, anawapa mavuno kwa wakati wake, anawapa chakula na kuwajaza na furaha.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ