4 Uliniambia nisikilize nawe utaniambia; kwamba utaniuliza nami nikujibu.
Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana, mimi ninayekuwa mavumbi na majivu tu.
Ujikaze kama mwanaume, nami nitakuuliza nawe utanijibu.
Ujikaze kama mwanaume. Nitakuuliza, nawe utanijibu.