3 Ulisema kwamba nilivuruga mipango yako bila akili. Kweli nilitamka kitu ambacho sikuelewa, mambo ya ajabu sana kwangu ambayo sikukuwa ninayajua.
Unaweza kuvumbua siri za Mungu na kujua ukomo wa Mungu Mwenye Uwezo?
Ukubwa ule unapita urefu wa dunia, unapita upana wa bahari.
Sikia! Hayo yote nimeyaona kwa macho yangu. Nimeyasikia kwa masikio yangu mwenyewe na kuelewa.
Nani wewe unayevuruga mipango yangu kwa maneno yasiyokuwa na akili?
yeye anayetenda mambo makubwa yasiyochunguzika, anayetenda maajabu yasiyohesabika.
Wimbo wa safari za kidini: wa Daudi. Ee Yawe, sina moyo wa majivuno; wala macho yangu si ya kiburi. Sijishugulishi na mambo makubwa, yale yanayokuwa ya ajabu sana kwangu.
Ufahamu wako unapita akili yangu; ni mukubwa sana, siwezi kuuelewa.
Heri mutu anayemutumainia Yawe, mutu asiyejiunga na watu wenye majivuno, watu waliopotoka kwa kuabudu miungu ya uongo.