1 Kisha Yobu akamujibu Yawe:
Yobu akasema:
Kisha Yobu akamujibu Yawe:
Ninajua kwamba unaweza kila kitu, lolote unalokusudia haliwezi kuzuiliwa.
Yawe alipomaliza kuongea na Yobu, akamwambia Elifasi wa inchi ya Temani: “Kasirani yangu imewaka juu yako na warafiki zako wawili maana hamukusema ukweli juu yangu kama vile mutumishi wangu Yobu alivyofanya.
Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.
Basi mumutii Mungu. Mupingane na Shetani, naye atawakimbia.