8 Kila mumoja umeshikamana na mwingine, hata hewa haiwezi kupenya katikati yake.
Mufalme Ahabu wa Israeli akajibu: “Mumwambie mufalme Beni-Hadadi kwamba shujaa anajisifu kisha kupigana vita, na si mbele ya vita!”
Watawala wa Samaria waliogopa sana na kusema: “Tunaweza namna gani kumupiga Yehu wakati mufalme Yoramu na mufalme Ahazia hawakuweza?”
Mugongo wake umefanywa kwa mistari ya ngao iliyoshikamana pamoja kama kwa muhuri.
Imeunganishwa pamoja, hata haiwezekani kuitenganisha.