20 Mushale hauwezi kumukimbiza; akitupiwa mawe ya mujeledi anayaona kama maganda.
Ni wewe unayemufanya farasi aruke kama nzige? Mulio wake wa maringo ni wa ajabu!
Kwake chuma ni laini kama unyasi, na shaba kama muti uliooza.
Kwake, gongo ni kama kipande cha bua; anacheka akitupiwa mikuki kwa wingi.