Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 41:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Akipiga chafya, mwangaza unatokea, macho yake yanametameta kama jua inapotokea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 41:10
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe Yuda, mwana wangu, ni kama mwana-simba ambaye amepata mawindo yake akapanda juu, kama simba mukali anajinyoosha na kulala chini. Simba dike, nani anayesubutu kumwamusha?


Ulaaniwe na wale wanaolaani siku, wale wafundi wanaoamusha Leviatani.


Nyota zake za mapambazuko zififie, utamani kupata mwangaza, lakini usipate, wala usione mwangaza wa mapambazuko.


Una nguvu kama mimi Mungu? Unaweza kunguruma kwa sauti kama yangu?


Imeunganishwa pamoja, hata haiwezekani kuitenganisha.


Yeye ni mwenye hekima sana na nguvu nyingi. Nani aliyepingana naye, akashinda?


Yawe akaniambia: Ikiwa umekimbia pamoja na wenye kukimbia kwa miguu, nao wamekuchokesha, basi, namna gani utaweza kushindana na farasi? Kama unaanguka katika inchi isiyokuwa na vizuizi, utafanya nini katika pori la Yordani?


Kama vile simba anavyochomoka kutoka ndani ya vichaka vya muto Yordani na kuingia kwenye mbuga, ndivyo nitakavyowafukuza kwa rafla Waedomu toka katika inchi yao. Nami nitamuweka huko mutawala yeyote nitakayemuchagua. Maana, ni nani anayeweza kulinganishwa nami? Nani anayeweza kunishitaki? Ni muchungaji gani anayeweza kunipinga?


Kama vile simba anavyotoka ndani ya vichaka vya muto Yordani na kuingia kwenye mbuga, ndivyo nitakavyowafukuza kwa rafla watu wake kutoka kwake. Nami nitamuweka huko mutawala yeyote nitakayemuchagua. Maana, ni nani anayeweza kulinganishwa nami? Nani anayeweza kunishitaki? Ni muchungaji gani anayeweza kunipinga?


Atavizia na kulala chini kama simba, nani atasubutu kumwamusha? Abarikiwe yeyote atakayekubariki wewe Israeli, alaaniwe yeyote atakayekulaani.


Au tunataka kumuchokoza Bwana hata asikie wivu? Munafikiri kuwa sisi tuko na nguvu kuliko yeye?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ