1 Yeyote anayeona yule nyama mukubwa anakufa moyo na kuzimia.
na viumbe vyote vyenye uzima, ndege, nyama wa kufugwa na wa pori, wote waliotoka katika chombo pamoja nanyi.
Ulaaniwe na wale wanaolaani siku, wale wafundi wanaoamusha Leviatani.
Nani anayeweza kuziba macho yake na kumuteka? Nani anayeweza kumutoboa pua kwa mutego?
Mashua zinasafiri humo, na yule nyama mukubwa Leviatani uliyemwumba achezee humo.
Wewe uliponda vichwa vya nyama mukubwa Leviatani; ukawapa wanyama wa jangwa muzoga wake.
Siku hiyo, Yawe atakamata upanga wake mukubwa, mukali na imara, na kuiazibu Leviatani, ile nyoka inayoruka na kuzongazonga. Yawe ataua nyoka mukubwa anayeishi katika bahari.