Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 40:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Nilisubutu kusema na sitasema tena. Nilisema mengi lakini sitaendelea kusema zaidi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 40:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mufalme wa Israeli akapeleka waaskari wake karibu na pahali alipoambiwa. Elisha aliendelea kumwonya mufalme naye mufalme alijiweka katika hali ya angalisho. Jambo hilo lilifanyika mara nyingi.


Mungu anaweza kusema kwa njia moja au ingine lakini mutu hatambui.


Ingawa sina kosa, siwezi kumujibu. Ninapaswa kumwomba mwamuzi wangu huruma.


Kama mutu angesubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali, hata kujibu ulizo moja kati ya elfu.


Musitegemee kutesa, musijisifie mali ya wizi; kama mali zikiongezeka, musizitegemee.


Basi tunajua kama maneno yote yanayosemwa na Sheria, yanawaelekea wale wanaolazimishwa kutii Sheria, kusudi mutu yeyote asikuwe na namna ya kujitetea, na dunia nzima ipaswe kuhukumiwa na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ