3 Kisha Yobu akamujibu Yawe:
Yobu akasema:
Labda mutu atamwambia Mungu hivi: “Nimekosa, sitatenda zambi tena.
Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!
Mimi sifai kitu. Nitakujibu nini? Ninafunga kinywa changu.
Kisha Yobu akamujibu Yawe:
Kwa hiyo ninatubu na kujihukumu; ninajinyenyekeza na kuikaa juu ya mavumbi na majivu.
Yawe alipomaliza kuongea na Yobu, akamwambia Elifasi wa inchi ya Temani: “Kasirani yangu imewaka juu yako na warafiki zako wawili maana hamukusema ukweli juu yangu kama vile mutumishi wangu Yobu alivyofanya.
Basi mumutii Mungu. Mupingane na Shetani, naye atawakimbia.