Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 40:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 40:2
35 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nitamwambia Mungu: Usinitendee sawa na mwenye makosa. Unijulishe sababu ya kugombana nami.


Lakini ningependa kusema na Mungu Mwenye Uwezo, ninatamani kujitetea mbele ya Mungu.


Ningeleta maneno yangu mbele yake, na kumutolea utetezi wangu.


Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,


Kwa nini kumujalia mwangaza na uzima yule anayekuwa katika taabu, anayekuwa na huzuni ndani ya moyo,


Kwa nini kumujalia uzima mutu ambaye njia zake zimefungwa, mutu ambaye Mungu amemwekea kizuizi?


Umegeuka kuwa mukali kwangu, unanitesa kwa mukono wako wenye nguvu.


Heri kungekuwa mutu wa kunisikiliza! Ninaweza kutia sahihi yangu katika kila neno nililosema. Mungu Mwenye Uwezo anijibu! Heri mashitaki waadui zangu wanayonitolea yangeandikwa!


Kwa nini unashindana naye, ukisema hatajibu ulizo lako moja?


Ujikaze kama mwanaume, nami nitakuuliza nawe utanijibu.


Mimi ni bahari au nyama mukubwa wa bahari hata upate kuniwekea mulinzi?


Kama mutu angesubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali, hata kujibu ulizo moja kati ya elfu.


Kila kitu kinachotukia kilikwisha kupangwa tangu zamani. Hali ya mwanadamu inajulikana, na tunajua kwamba muzaifu hawezi kubishana na mutu mwenye nguvu zaidi.


Yawe alitaka shauri toka kwa nani, halafu akapata kuwa mwenye akili? Nani aliyemufundisha kuhukumu kwa haki? Nani aliyemufundisha maarifa, na kumwonyesha namna ya kuwa na akili?


Muteteaji wangu yuko karibu. Ni nani atakayepingana nami? Akuje tusambe naye. Adui yangu ni nani? Ajitokeze mbele basi.


Ewe Babeli, nilikutegea mutego ukanaswa, wala haukujua kitu juu yake; ulipatikana, ukakamatwa, kwa sababu ulishindana nami Yawe.


Kwa nini munarudiliarudilia mezali hii katika inchi ya Waisraeli: Wababa wamekula matunda mabichi ya mizabibu, lakini ni meno ya watoto wao ndiyo yanaumizwa!


Watu wale walipopokea mushahara ule, wakamunungunikia mwenye shamba.


Au tunataka kumuchokoza Bwana hata asikie wivu? Munafikiri kuwa sisi tuko na nguvu kuliko yeye?


Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Ni nani anayejua mawazo ya Bwana? Ni nani anayeweza kumushauria?” Lakini sisi tuko na mawazo yanayotoka kwa Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ