18 Mifupa yake ni kama mirija ya shaba, mbavu zake ni kama vipande vya chuma.
Mukia wake ni wenye nguvu kama mwerezi, mishipa ya mapaja yake imeshonwa pamoja.
Yeye ni wa kwanza wa ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake ninayeweza kumutawala.
Mimi ni bahari au nyama mukubwa wa bahari hata upate kuniwekea mulinzi?
Lakini nilikujua wewe kuwa na moyo mugumu; kichwa kigumu kama chuma, uso wako kama shaba.