16 lakini ana nguvu ajabu katika mwili wake, na mishipa ya tumbo lake ni imara.
Uangalie yule nyama mukubwa kiboko. Nilimwumba kama nilivyokuumba wewe. Yeye anakula majani kama ngombe,
Mukia wake ni wenye nguvu kama mwerezi, mishipa ya mapaja yake imeshonwa pamoja.
Tumbo lake ni kama limefunikwa na vigae vikali; anakwaruza na kurarua udongo kama chombo cha kulima.