Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Fikiri sasa: nani asiyekuwa na kosa ambaye amepata kuangamia? Au, watu wa usawa wamepata kutupiliwa?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 4:7
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hawaachilii waovu waendelee kuishi; lakini anawapatia wanaoteswa haki zao.


Haachi kuwalinda watu wa haki; nao anawaweka kuwa wafalme watawale na kutukuzwa.


Sikia! Mungu hatakataa mutu mukamilifu, wala hatasaidia waovu.


Nilikuwa kijana na sasa mimi ni muzee; hata kidogo sijaona mutu wa haki ameachwa na Mungu, au watoto wake wakiombaomba chakula.


Katika maisha yangu ya bure, niliona kila kitu. Mutu wa haki anakufa ingawa ni wa haki, ambapo mutu mwovu anaendelea kuishi maisha marefu ingawa ni mwovu.


Wale wenyeji wa kule walipoona nyoka yule anajizingia kwa mukono wake wakasemezana: “Hakika mutu huyu ni mwuaji, kwa maana ijapokuwa alipona katika hatari ya bahari, kufuatana na azabu ya haki ya Mungu, kufa kwake kunatimia.”


Basi, ni kusema kwamba Bwana anajua namna ya kuwaokoa wenye kumwogopa katika majaribu. Lakini anangojea kuwaazibu watu wabaya kwa Siku ile ya hukumu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ