Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Sikiliza! Wewe umewafundisha wengi, na kuiimarisha mikono ya wazaifu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 4:3
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimemuchagua yeye na wazao wake. Yeye atawafundisha wazao wake kushika njia yangu kwa kutenda kwa haki na kwa kufuata sheria yangu, nami nitawatimizia ahadi zangu.”


Kwa muda wa siku saba watu walisherehekea kwa furaha sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa sababu Yawe aliwajalia furaha na kumupa mufalme wa Asuria moyo wa upendo kwao, akawasaidia katika kazi za ujenzi wa nyumba ya Mungu, wa Israeli.


Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.


Kila mutu aliyesikia habari zangu alinitakia heri na aliponiona, alikubali habari zile kuwa kweli.


Kwa vipofu nilikuwa macho ya kuwaonyesha njia; kwa viwete nilikuwa miguu yao.


Kwa wamasikini nilikuwa baba yao; nilifanya bidii kutetea haki za watu nisiowajua.


Wakati ule watu walinisikiliza na kungoja, walikaa kimya kungojea mashauri yangu.


Maneno yako yamewainua moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu.


Maneno ya mwenye haki yanawafalia watu wengi, lakini wapumbafu wanakufa kwa kukosa akili.


Mudomo wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini sivyo kwa mioyo ya wapumbafu.


Mwenye hekima ndani ya moyo anaitwa mwenye akili; neno la kupendeza linawavuta watu.


Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea.


Bwana wetu Yawe amenifundisha jinsi ya kusema, kusudi niwatie moyo wale waliochoka. Kila asubui ananipa hamu ya kusikiliza mambo anayotaka kunifundisha.


Kwa sababu mumewavunja watu wa haki moyo kwa kusema uongo, ijapokuwa mimi sikuwavunja moyo, mukawaimarisha waovu wasiache mienendo yao mibaya na kuokoa maisha yao,


Siku hiyo, Yerusalema utaambiwa: Usiogope, ee Sayuni, usilegee mikono.


Lakini mimi nimekuombea, kusudi usipungukiwe na imani. Nawe utakaponirudilia tena, uwatie wandugu zako moyo.”


Halafu malaika toka mbinguni alimutokea kwa kumutia moyo.


Musiseme neno lolote baya, lakini kama ni lazima museme tu maneno mazuri na ambayo yanasaidia kuwajenga wengine na yanayoleta neema kwa wale wanaoyasikia.


Lakini umupe Yoshua maagizo, umutie moyo na kumwimarisha, maana yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa mpaka ngambo, kurizi inchi utakayoiona’.


Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.


Basi muitie tena nguvu mikono yenu inayopooza, nayo magoti yenu yanayoregea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ